2.05.2016
Diamond Platnumz ateuliwa kuwa balozi wa Vodacom,asema ni mara ya kwanza Tanzania.
Staa anayetikisa kwenye muziki wa Bongo Fleva hivi
sasa Diamond Platnumz amepata shavu la kuwa
balozi wa mtandao wa simu wa vodacom kwenye
promosheni yao mpya ya ongea daily. Kwa upande
wake Diamond amesema kuwa amefurahishwa na
tukio hilo kwa kuwa ni kitu ambacho akijawai kutokea
Tanzania.
“ Kiukweli kwangu leo ni siku kubwa kwa sababu hiki
kitu hakijawai kufanyika Tanzania,ni mara ya kwanza
kuwa
brand ambasador wa vodacom ni kitu ambacho
hakijawahi kutokea Tanzania” alisema Diamond
ambaye ameshawai kuwa balozi wa kampuni kadhaa
ikiwemo Cocacola na Muziiki“.
2.04.2016
Soma Bei za simu hapa .
PRICE LIST FOR SMARTPHONES
Samsung Galaxy… 245,000/=
Samsung Galaxy Ace Duos… 245,000/=
Samsung Focus i917 windows… 245,000/=
Samsung Focus 2… 245,000/=
Samsung Galaxy Xcover… 255,000/=
Samsung Galaxy Ace Plus… 265,000/=
Samsung Galaxy S Captivate… 265,000/=
Samsung Galaxy S1… 265,000/=
Samsung Galaxy S Duos… 365,000/=
Samsung Nexus 1… 365,000/=
Samsung Galaxy S2… 445,000/=
Samsung Galaxy S Advance… 455,000/=
Samsung Galaxy S3 mini… 465,000=
Samsung Nexus X… 485,000/=
Samsung Galaxy Tab 1… 495,000/=
Samsung Note 1… 495,000/=
Samsung Galaxy Grand… 545,000/=
Samsung galaxy S3… 595,000/=
Samsung Galaxy S4 Zoom… 650,000/=
Samsung Galaxy Mega… 785,000/=
Samsung Note 2… 880,000/=
Samsung S4 Active… 965,000/=
Sony Xperia X10… 275000/=
Sony Xperia Arc… 355,000/=
Sony Xperia J… 375,000/=
Sony Xperia T… 585,000/=
Sony Xperia Ion… 585,000/=
Sony Xperia Z… 945,000/=
HTC G6 Legend… 175,000/=
HTC Wildfire… 175,000/=
HTC Desire C… 185,000/=
HTC Chacha… 225,000/=
HTC Trophy 7… 230,000/
HTC Desire G7… 235,000/=
HTC Desire S… 265,000/=
HTC HD 7 windows… 270,000/=
HTC Desire HD… 325,000/=
HTC One V… 355,000/=
HTC Sensation XE… 345,000/=
HTC Windows Phone 8s… 355,000/=
HTC Raider 4F… 425,000/=
HTC One S… 425,000/=
HTC Sensation XL… 475,000/=
HTC Windows Phone 8x… 475,000/=
HTC One X… 495,000/=
Nokia Lumia 610… 265,000/=
Nokia Lumia 710… 275,000/=
Nokia Lumia 620… 375,000/=
Nokia Lumia 800… 385,000/=
Nokia Lumia 820… 475,000/=
Nokia Lumia 822… 475,000/=
Nokia Lumia 900… 525,000/=
Nokia Lumia 920… 695,000/=
HUAWEI Ideos X5… 180,000/=
Huawei Ascend y300… 245,000/=
Huawei Ascend G300… 325,000/=
Huawei Ascend G510… 345,000/=
Huawei Ascend P1… 445,000/=
Huawei Ascend P6 for 625,000/=
Huawei Ascend P7 for 650,000/=
Motorola DROID XT912… 425,000/=
LG Optimus P970… 275,000/=
LG Optimus 2X su660… 295,000/=
LG Optimus P700… 355,000/=
LG Optimus P769… 365,000/=
LG Optimus 3D P920… 395,000/=
BlackBerry 9700 for 365,000/=
BlackBerry Torch 9800 for 375,000/=
Blackberry 9850 for 470,000/=
Blackberry 9900 for 495,000/=
CONTACT: 0689777757, 0756444407
ange kuwa mwanao huyu unge mfanyaje ??????
2.03.2016
Soma lyrics za Ay zigo remix ft diamond platnumz.
[Verse 1 – A.Y]
Picha linaanza nshadata
Picha linaanza nshawaka
Picha linaanza nshachanganyikiwa
Picha linaanza nshadata
Ukweli mie amenikamata
Kwa jinsi navyomuangalia
Akinipatia nami sitamuacha
Kwa nyuma ananipa mineso
Moyoni ananipa mateso
Wa kishua ila matendo ya ghetto
Mtamu na hapendi vya dezo
Nakula kwa macho, 5 star girl si mchezo
Emu ona, emu ona
[Hook – A.Y]
Ukweli mie amenikamata
Kwa jinsi navyomuangalia
Akinipatia nami sitamuacha
[Verse 2 – Diamond Platnumz]
Aa aah ana rangi flani ya kimanga
Lugha lafudhi ya kitanga
Usiombe akapita na khanga (wu!)
Nyuma figusu majanga (wu!)
Ana mwendo wa kung’onya
Tena alivyoshona
Umbo kama katuni wa kuchora
Aah Singida-Dodoma, kitandani Sodoma
Kiuno kama nyuki, dondora
Maneno ya watu sumu yana hila
Wasije leta referee ka mpira
Chunga katu usije ukanzira
Nkashikwa na uchizi yaani utaila
(Rooh!)
Mtoto yani mukidi mukide
Mpaka ndani shigidi shigide
Hasa aki-lick D, lick De
Ye ndo mama Chibudi Chibude eh
[Hook – A.Y]
Ukweli mie amenikamata
Kwa jinsi navyomuangalia
Akinipatia nami sitamuacha
[Bridge 1 – A.Y] x2
Too se-too sex yeah man
Buzye-buzye ni amani
Mungu ameumba hapa, yeah man
Natamani nikaseme nae, yeah man
[Bridge 2]
[A.Y]
Naamini amezaliwa ili mimi niwe nae eh
Mpaka sasa nimechanganyikiwa
Akaja ye awe nami
[Diamond Platnumz]
Mutoto yani mukidi mukide
Mpaka ndani shigidi shigide
Hasa aki-lick D, lick De
Ye ndo mama Chibudi Chibude eh
[A.Y]
Naamini amezaliwa ili mimi niwe nae
Mpaka sasa nimechanganyikiwa
Akaja ye awe nami
Iwe iwe iwe
Iwe iwe hii ndoto
Ni tamu mpaka utamu umepitiliza
Akikaa na wengine wanachukiza
Shika leka dige yeah man
Ngoja niongeze bidii yeah man
Ukute hili zali langu yeah man
Nikapige masinema nae yeah man
Sheaaa!
[Bridge 3 – A.Y]
Yessaya!
Nakula kwa macho
Kwa macho
Nakula kwa macho
Kwa macho
Nakula kwa macho
Kwa macho
[Hook – A.Y]
Ukweli mie amenikamata
Kwa jinsi navyomuangalia
Akinipatia nami sitamuacha